Jah Prayzah amesherehekea baada ya video ya wimbo wake wa ‘Watora Mari’ aliomshirikisha Diamond kufikisha views milioni moja kwenye mtandao wa Youtube.
Wimbo huo una wiki mbili tangu umewekwa kwenye mtandao huo August 12, mwaka huu lakini pia ndio wimbo wa kwanza wa msanii huyo kutazamwa mara nyingi kama hivyo.
Wimbo huo una wiki mbili tangu umewekwa kwenye mtandao huo August 12, mwaka huu lakini pia ndio wimbo wa kwanza wa msanii huyo kutazamwa mara nyingi kama hivyo.
Kupitia mtandao wa Instagram msanii huyo amewashukuru mashabiki wake kwa kuandika, “Thanks to all my fans out there,watora mari video with @diamondplatnumz has just reached a million views in a space of 2 weeks…”
Thanks to all my fans out there,watora mari video with @diamondplatnumz has just reached a million views in a space of 2 weeks...............ada
0 Comments
on