Header Ads Widget

PICHA | SHOW YA DIAMOND MALAWI YAFANA LICHA YA MVUA KUBWA KUNYESHA


Licha ya mvua kubwa kunyesha, Diamond amefanikiwa kupiga show iliyofana kwenye Sand Music Festival iliyofanyika kwenye fukwe za Living stone Jumamosi hii.
Mpiga picha wake, Kifesi amedai kuwa mvua kubwa ilinyesha na kulazimu show yake kusimama kwa muda. Hata hivyo mashabiki waliokuwa na hamu kumuona akitumbuiza, walisubiri hadi ilipokata.

14718155_570664783139840_4137945881523519488_n
Kwenye picha hii Kifesi ameandika: Picha juu ni usiku watu wakiwa na shauku ya Diamond but mvua ikanyesha, but walingoja hadi hali ilipotulia.. Picha chini na alfajiri saa 12 hali ilipotulia na Diamond kupanda na hakuna alokua kuchoka or kuondoka
Kwenye show hiyo Diamond alitumbuiza live. Hizi ni picha zaidi:
14583435_409418349445961_5204304046856339456_n
14624250_155985254866483_6975121932035293184_n
14624485_1894274970800430_379055413905063936_n
14624792_324952597861913_6656501196225773568_n
14677395_1800999240140394_6583553105143529472_n
14704955_1271863276168130_6216880717607993344_n
14712335_574537479402409_7144748499999916032_n
14712409_1655487558074513_6202943742006001664_n
14716485_557850674403755_8102136125193191424_n
14718136_311628412557770_2527903349676703744_n
14718276_1675009502829719_636843465589653504_n
14723446_905749922891304_4656700565634416640_n

Post a Comment

0 Comments