Licha
ya mvua kubwa kunyesha, Diamond amefanikiwa kupiga show iliyofana
kwenye Sand Music Festival iliyofanyika kwenye fukwe za Living stone
Jumamosi hii.
Mpiga picha wake, Kifesi amedai kuwa mvua kubwa ilinyesha na kulazimu
show yake kusimama kwa muda. Hata hivyo mashabiki waliokuwa na hamu
kumuona akitumbuiza, walisubiri hadi ilipokata.
Kwenye
picha hii Kifesi ameandika: Picha juu ni usiku watu wakiwa na shauku ya
Diamond but mvua ikanyesha, but walingoja hadi hali ilipotulia.. Picha
chini na alfajiri saa 12 hali ilipotulia na Diamond kupanda na hakuna
alokua kuchoka or kuondoka
Kwenye show hiyo Diamond alitumbuiza live. Hizi ni picha zaidi:
0 Comments
on